June 20 2016 Geah Habib kupitia Hekaheka ya Clouds FM ametuletea
Hekaheka kutokea Buguruni Dar es salam ambapo mama amepelekwa polisi
na wananchi kisa mtoto anayedaiwa kuwa ni wa kwake ni mwarabu.
Mama alifika maeneo hayo nyakati za usiku na watu wakawa na mashaka naye wakamwambia aende kwa mjumbe……..
>>>’shida
yake yeye ni kwamba anamuhitaji ndugu yake alikuwa bungoni lakini
alipofika alikuwa ameshahama na kuna ndugu zake wengine akaomba kulala
kwa sababu hawezi kufika mbezi kwa usiku huo, nikamwambia twende kituo
cha polisi hapo zogo ndio likaanza’:-Mjumbe
>>>kwa
nini mnakuwa washamba hapa Dar es salaam hamna watu waliozaa na
wahindi au waarabu mpaka mnakuja kunishangaa mimi, hapa
nishaadhalilishwa sana kwa hiyo twende polisi nikamshtaki
aliyenidhalilisha‘:-Mama wa mtoto
Unaweza kusikiliza kwa kubonyeza play hapa chini
0 comments :
Post a Comment